Sunday, January 18, 2015

NYUMBANI: Vitu hivi vitatu vitakusaidia kuongeza nafasi ya kuhifadhia kwenye jiko lako

Haijalishi unaishi kwenye bangaloo, mansion au chumba na sebule bila shaka ulishajisikia kupungukiwa na eneo la kuhifadhia mahali unapopikia. Ukiweza kuongeza vitu hivi utaweza kuhifadhi zaidi...
kimeza kama hiki chenye matairi kitakuwezesha kuhifadhi vyakula kama matunda, vitunguu na hata nyanya ambazo hazijaiva vizuri

vyombo vyako vya udongo utapenda vionekane, kikabati kama hiki unaweza kukiweka kwenye corridor ama dining.
Njia ya tatu ya kuongeza eneo la kuhifadhia jikoni ni kuongeza ukubwa wa makabati yako ya jikoni ambapo yatachukua eneo lote hadi kwenye ceiling. Kwahivyo ile sehemu ya ukuta ilnayokaa bure inakuwa occupied na makabati.

No comments:

Post a Comment