Monday, January 5, 2015

my everyday life: mtoto shule mzazi shule

yani mchaka mchaka wa watoto kwenda shule ni kama na mzazi unasoma vilevile....watu wangu wadogo wameshazianza mbio za 2015, usingizi wa asubuhi iz no more...

 jamani ni mambo ya wake up with giza yameanza tena, masikitiko mweee
 kweli na kimvua mvua hiki kweli, usingizi ungenoga sana
any way wacha tu twende ni kwa faida yetu

No comments:

Post a Comment