Friday, January 30, 2015

Picha ya siku: Watoto wazuri sana hawa, wamependeza kwelikweli

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mama Salma Kikwete na Waziri wa Mambo ya Nje Mhe Membe wakiwa na Watoto wa Kitanzania wakati wa Ufunguzi wa Majengo ya Ubalozi wa Tanzania Nchini Ufaransa

No comments:

Post a Comment