Saturday, May 23, 2015

PICHA: Mtoto "anapolianzisha" mbele ya raisi Obama..

Hebu fikiria jinsi unapokuwa kwenye hadhara iliyotulia, kwa mfano kanisani halafu mtoto analianzisha..unajisikiaji watu wote kimya mwanao tu ndio kacharuka kwenye kadamnasi. Sasa huyu kaamua kabisa mbele ya raisi wa dunia..utoto raha sana.

No comments:

Post a Comment