Wednesday, May 27, 2015

Picha: Waziri mkuu Pinda alipotembelewa NYUMBANI kwake na mwanafunzi Albert

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mtoto Albert Kanan wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Ilalangulu wilayani Mlele ambaye alikwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu katika kijiji cha Kibaoni akiomba kupiga naye picha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment